Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 119:46-48

Zaburi 119:46-48 BHN

Nitawatangazia wafalme maamuzi yako, wala sitaona aibu. Furaha yangu ni kuzitii amri zako, ambazo mimi nazipenda. Naziheshimu na kuzipenda amri zako; nitayatafakari masharti yako.

Soma Zaburi 119