Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zab 119:46-48

Zab 119:46-48 SUV

Nitazinena shuhuda zako mbele ya wafalme, Wala sitaona aibu. Nami nitajifurahisha sana kwa maagizo yako, Ambayo nimeyapenda. Na mikono yangu nitayainulia maagizo yako niliyoyapenda, Nami nitazitafakari amri zako.