Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 119:46-48

Zaburi 119:46-48 SRUV

Nitazinena shuhuda zako mbele ya wafalme, Wala sitaona aibu. Nami nitajifurahisha sana kwa maagizo yako, Ambayo nimeyapenda. Na mikono yangu nitayainulia maagizo yako niliyoyapenda, Nami nitazitafakari amri zako.

Soma Zaburi 119