Soma Biblia Kila Siku 08/2024Sample

“Utauwa” ni maisha ya uchaji wa Mungu. Hufaa kwa mambo yote. Kwa hiyo neno la leo linatuambiakujizoezakuupata. Tufanyeje? Mazoezi ya mwili, fikra na nia hayatatufanikisha. Kwa hiyo Timotheo anaambiwa kujiendeleza kiroho kwa njia ya kuwamzoevuwa maneno ya imani na mafundisho mazuri ya Biblia:Uwakumbushe ndugu mambo hayo, nawe utakuwa mtumishi mwema wa Kristo Yesu, na mzoevu wa maneno ya imani, na mafundisho mazuri yale uliyoyafuata(m.6). Hivyo tunamwekeaMungutumaini letu, alivyofanya Paulo. Tafakari anavyoshuhudia katika m.10:Twajitaabisha na kujitahidi kwa kusudi hili, kwa sababu tunamtumaini Mungu aliye hai, aliye Mwokozi wa watu wote, hasa wa waaminio. Mungu ndiyeMwokozi wa watu wote, kwa sababu hayupo Mwokozi mwingine, nahasa wa waaminio, kwa sababu ni hao tu watakaookolewa.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 08/2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Nane pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha 2 Wafalme na 1 Timotheo. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

Two-Year Chronological Bible Reading Plan (First Year-January)

When You Feel Like Roommates: 4 Day Plan to Help You Love (And Like) Your Spouse for Life

The Bible in a Month

Simon Peter's Journey: 'Grace in Failure' (Part 1)

Biblical Wisdom for Making Life’s Decisions

Never Alone

The Holy Spirit: God Among Us

Sharing Your Faith in the Workplace

Everyday Prayers for Christmas
