Soma Biblia Kila Siku 11/2020Sample

Yohana alipozama katika uwepo wa Mungu aliona mengi yahusuyo ufalme wa mbinguni. Alionyeshwa picha ya mambo yaliyopo, na aliwaona watu wengi wakimsifu Mungu wakifurahia wokovu wake. Je, una hamu ya kufika hapo? Ila unajiuliza una uhakika gani? Ukizama katika Neno la Mungu, yeye atakuonyesha jibu sahihi. Tafakari tena m.3 unaosema, Msiidhuru nchi, wala bahari, wala miti, hata tutakapokwisha kuwatia muhuri watumwa wa Mungu wetu juu ya vipaji vya nyuso zao.Zingatia Mungu anavyotawala vitu vyote. Endelea kumtegemea yeye, naye atakulinda mpaka utakaporithi uzima wa milele pamoja na ule mkutano mkubwa. Maana wokovu una Mungu!
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 11/20 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha Mathayo, Mwanzo na 1 Petro. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

Here Am I: Send Me!

Sickness Can Draw You and Others Closer to God, if You Let It – Here’s How

The Making of a Biblical Leader: 10 Principles for Leading Others Well

The Way of St James (Camino De Santiago)

Prayer Altars: Embracing the Priestly Call to Prayer

Journey Through Proverbs, Ecclesiastes & Job

Live Like Devotional Series for Young People: Daniel

Journey Through Jeremiah & Lamentations

How Stuff Works: Prayer
