Soma Biblia Kila Siku 06/2020Sample

Mtu aliyezaliwa na Mungu, hatendi dhambi (m.18). Hajipi nafasi ya kuishi katika dhambi, yaani hapatani nayo. Sisi tu wa Mungu (m.19), yaani waaminio. Wengine wote wako chini ya Mwovu muda wote (kumbuka k.m. 2:15: Msiipende dunia, wala mambo yaliyomo katika dunia. Mtu akiipenda dunia, kumpenda Baba hakumo ndani yake). Ametupa akili kwamba tumjue yeye aliye wa kweli (m.20). Tumtegemee Yesu katika maisha yetu yote, katika kila kona ya maisha yetu. Jilindeni nafsi zenu na sanamu (m.20). Maisha ya zamani yamekwisha na yamepita. Kwa hiyo tusiyarudie tena. Tukisahau chakula cha kiroho cha kila siku, tutayarudia kwa haraka sana.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 06/20 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha 1 Yohana, Ayubu na Mathayo. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

God In The Times Of Kings

Breaking Busy: Find Peace & Purpose in the Crazy

Win the Day

Sickness Can Draw You and Others Closer to God, if You Let It – Here’s How

Journey With Jesus: 3 Days of Spiritual Travel

Here Am I: Send Me!

The Way of St James (Camino De Santiago)

Prayer Altars: Embracing the Priestly Call to Prayer

Come Holy Spirit
