SOMA BIBLIA KILA SIKU 01/20Sample

Nyota iliwaongoza mamajusi kwenda Yerusalemu kuuliza, Yuko wapi yeye aliyezaliwa mfalme wa Wayahudi?(m.2). Lakini angalia kuwa ni nuru ya Neno la Munguiliyowafikisha Bethlehemu ambako walimkuta mtoto! Hapo wakamsujudia, wakamtolea zawadi. Hii ni mara ya kwanza Yesu kujifunua kwa mataifa kwamba yeye ni mwokozi wa ulimwengu. Kila anayefuata nuru kama hao mamajusi, hatakosa kumwona Yesu, kumwabudu na kumtukuza. Je, wewe unamtafuta ili kufanya hivyo? Umeandaa zawadi gani kwake? Miili na roho zetu ndiyo dhabihu iliyo hai inayompendeza.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 01/20 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha Mathayo, Kutoka, Zaburi na Isaya. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Anza mwaka wa 2020 kwa kujifunza Neno la Mungu kupitia mpango huu.
More
Related Plans

Journey Through Jeremiah & Lamentations

How Stuff Works: Prayer

Journey With Jesus: 3 Days of Spiritual Travel

Live Like Devotional Series for Young People: Daniel

Here Am I: Send Me!

Prayer Altars: Embracing the Priestly Call to Prayer

The Way of St James (Camino De Santiago)

The Making of a Biblical Leader: 10 Principles for Leading Others Well

Journey Through Proverbs, Ecclesiastes & Job
