Soma Biblia Kila Siku 2Sample

Lawi alikuwa ameshakufa tangu muda mrefu. Kwa hiyo "mtu mmoja wa nyumba ya Lawi" na "binti mmoja wa Lawi", wote wawili ni kutoka ukoo wa Lawi, si watoto wake. Ingawa Waisraeli walikuwa wanateseka, shetani hakuweza kuvunja mpango wa Mungu wa kuwaokoa wana wa Israeli kwa mkono wa Musa. Kwa hiyo shetani alishindwa kumwua Musa kwa mkono wa Wamisri. Hata maadui wa Mungu wamebidi wamtii Mungu na mpango wake, kama kwa mfano binti Farao aliyemwokoa Musa, na Herode ambaye mpango wake wa kumwua Yesu ulishindikana. Soma Warumi 8:31-39.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 2 inakupa mpango wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu, hasa kutoka Kitabu cha Kutoka na Injili ya Yohana, pamoja na maelezo juu ya somo hilo.
More
Related Plans

The Bible in a Month

Never Alone

Who Am I, Really? Discovering the You God Had in Mind

Reimagine Influence Through the Life of Lydia

Sharing Your Faith in the Workplace

Gospel-Based Conversations to Have With Your Preteen

Everyday Prayers for Christmas

Positive and Encouraging Thoughts for Women: A 5-Day Devotional From K-LOVE

Simon Peter's Journey: 'Grace in Failure' (Part 1)
