Soma Biblia Kila Siku 2Sample

Wakati wa Agano la Kale Mwana wa Mungu alijidhihirisha kama "malaika wa Bwana". Linganisha m.2a na m.4. Maana yake ni kwamba Musa alimwona Kristo, Bwana wetu, kijitini (m.6). Wakati wa Agano la Kale palikuwapo mahali maalumu patakatifu ambapo mtu aliweza kumkaribia Mungu. Sharti lilikuwa kwamba afanye maandalizi maalum asije kufa. Lakini baada ya Kristo kufanyika mwili, kuteswa, kufa na kufufuka si hivyo tena. Sasa twaweza kumwabudu Mungu mahali popote kwa sababu ya ukombozi wa Yesu! Soma Yohana 4:20-24 na Waebrania 10:19-22.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 2 inakupa mpango wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu, hasa kutoka Kitabu cha Kutoka na Injili ya Yohana, pamoja na maelezo juu ya somo hilo.
More
Related Plans

I Need Hope

Daily Godpreneur: Millionaire Mind

Colossians & Philemon Book Study - TheStory

No Days Off: A 7-Day Devotional

God's Love Letter to You - Chronological Bible in a Year

The Biscuit Trail

The Cross: Why Did Jesus Have to Die?

Soulcon Warrior 7 Day Devotional

Rain Devotional: A 3-Day Journey of Restoration, Revival, and Redirection
