Soma Biblia Kila Siku 1Sample

Watu walimwona Yohana kuwa mtu mkubwa, lakini hakujivuna. Uaminifu na unyenyevu wa Yohana ulitokana na yeye kujawa na kumtukuza Yesu. Akijihesabu kuwa hastahili hata kuwa mtumwa wa Yesu (m.27), aliona heshima yake mwenyewe ni kumshuhudia Yesu kwa watu wote. Alimtambulisha kuwa ndiye Kristo aliyetumwa na Mungu kufanya upatanisho kwa ajili ya dhambi ya ulimwengu. Hakika ndivyo alivyo Bwana Yesu. Alizichukua dhambi zote za ulimwengu. Tukimtazama yeye hata kumwamini, tunao uzima wa milele.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 1 inakupa mpango wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu, hasa kutoka Injili ya Yohana, pamoja na maelezo juu ya somo hilo.
More
Related Plans

Journey With Jesus: 3 Days of Spiritual Travel

Journey Through Proverbs, Ecclesiastes & Job

Prayer Altars: Embracing the Priestly Call to Prayer

How Stuff Works: Prayer

Here Am I: Send Me!

Live Like Devotional Series for Young People: Daniel

The Way of St James (Camino De Santiago)

The Making of a Biblical Leader: 10 Principles for Leading Others Well

Journey Through Jeremiah & Lamentations
