Soma Biblia Kila Siku 1Sample

Ilibakia kidogo Bwana arusi wa Kana kufedheheka kwa kuwa alitindikiwa kinywaji kwa ajili ya wageni wa sherehe. Aliokoka kutoka fedheha hii kwa sababu: Mosi, alimwalika Bwana Yesu katika arusi yake, na pili, alisikia na kuamini neno aliloambiwa naye. Je, na wewe unafanya sherehe kwa namna ileile? Na ikiwa umeoa au kuolewa, je, Yesu ni Bwana vilevile katika ndoa yako? Kama jibu lako ni ”ndiyo”, hata sherehe au ndoa yakoitakuwa ishara inayodhihirisha utukufu wa Yesu kama ilivyotokea kule Kana!
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 1 inakupa mpango wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu, hasa kutoka Injili ya Yohana, pamoja na maelezo juu ya somo hilo.
More
Related Plans

Journey With Jesus: 3 Days of Spiritual Travel

Journey Through Proverbs, Ecclesiastes & Job

Prayer Altars: Embracing the Priestly Call to Prayer

How Stuff Works: Prayer

Here Am I: Send Me!

Live Like Devotional Series for Young People: Daniel

The Way of St James (Camino De Santiago)

The Making of a Biblical Leader: 10 Principles for Leading Others Well

Journey Through Jeremiah & Lamentations
