INJILI ULIMWENGUNI - SEHEMU YA SITAគំរូ

INJILI ULIMWENGUNI - SEHEMU YA SITA

ថ្ងៃទី 5 ក្នុងចំណោម 7 ថ្ងៃ

  

BWANA WA MAVUNO

35 Yesu akazunguka katika miji yote na vijiji vyote, akifundisha katika masinagogi yao, akihubiri habari njema za Ufalme na kuponya kila ugonjwa na kila aina ya maradhi miongoni mwa watu.Alipoona makutano aliwahurumia

kwa sababu walikuwa wanasumbuka bila msaada, kama kondoo wasio na mchungaji.

37 Ndipo akawaambia wanafunzi wake,

“Mavuno ni mengi lakini watenda kazi ni wachache,

"38 Kwa hiyo mwombeni Bwana wa mavuno, ili apeleke watenda kazi katika shamba lake la mavuno.”

អត្ថបទគម្ពីរ

ថ្ងៃ 4ថ្ងៃ 6

អំពី​គម្រោងអាន​នេះ

INJILI ULIMWENGUNI - SEHEMU YA SITA

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana

More