1
Mathayo 8:26
Biblia Habari Njema
BHND
Yesu akawaambia, “Enyi watu wenye imani haba; mbona mnaogopa?” Basi, akainuka, akaukemea upepo na lile ziwa; kukawa shwari kabisa.
ប្រៀបធៀប
រុករក Mathayo 8:26
2
Mathayo 8:8
Huyo jemadari akamwambia, “Bwana, sistahili uingie nyumbani mwangu. Lakini sema tu neno, na mtumishi wangu atapona.
រុករក Mathayo 8:8
3
Mathayo 8:10
Yesu aliposikia hayo, alistaajabu, akawaambia watu waliokuwa wanamfuata, “Kweli nawaambieni, sijapata kumwona mtu yeyote katika Israeli mwenye imani kama hii.
រុករក Mathayo 8:10
4
Mathayo 8:13
Kisha Yesu akamwambia huyo jemadari Mroma, “Nenda nyumbani; na iwe kama ulivyoamini.” Na mtumishi wake akapona saa ileile.
រុករក Mathayo 8:13
5
Mathayo 8:27
Watu wakashangaa, wakasema, “Ni mtu wa namna gani huyu? Hata pepo na bahari vinamtii!”
រុករក Mathayo 8:27
គេហ៍
ព្រះគម្ពីរ
គម្រោងអាន
វីដេអូ