1
Mathayo 8:26
Biblia Habari Njema
BHN
Yesu akawaambia, “Enyi watu wenye imani haba; mbona mnaogopa?” Basi, akainuka, akaukemea upepo na lile ziwa; kukawa shwari kabisa.
مقایسه
Mathayo 8:26 را جستجو کنید
2
Mathayo 8:8
Huyo jemadari akamwambia, “Bwana, sistahili uingie nyumbani mwangu. Lakini sema tu neno, na mtumishi wangu atapona.
Mathayo 8:8 را جستجو کنید
3
Mathayo 8:10
Yesu aliposikia hayo, alistaajabu, akawaambia watu waliokuwa wanamfuata, “Kweli nawaambieni, sijapata kumwona mtu yeyote katika Israeli mwenye imani kama hii.
Mathayo 8:10 را جستجو کنید
4
Mathayo 8:13
Kisha Yesu akamwambia huyo jemadari Mroma, “Nenda nyumbani; na iwe kama ulivyoamini.” Na mtumishi wake akapona saa ileile.
Mathayo 8:13 را جستجو کنید
5
Mathayo 8:27
Watu wakashangaa, wakasema, “Ni mtu wa namna gani huyu? Hata pepo na bahari vinamtii!”
Mathayo 8:27 را جستجو کنید