1
Mathayo 9:37-38
Biblia Habari Njema
BHN
Hapo akawaambia wanafunzi wake, “Mavuno ni mengi, lakini wafanyakazi ni wachache. Basi mwombeni mwenye mavuno atume wafanyakazi wavune mavuno yake.”
مقایسه
Mathayo 9:37-38 را جستجو کنید
2
Mathayo 9:13
Basi, kajifunzeni maana ya maneno haya: ‘Nataka huruma, wala si tambiko.’ Sikuja kuwaita watu wema, bali wenye dhambi.”
Mathayo 9:13 را جستجو کنید
3
Mathayo 9:36
Basi, alipowaona watu, makundi kwa makundi, aliwaonea huruma kwa sababu walikuwa hoi na wenye wasiwasi kama kondoo wasio na mchungaji.
Mathayo 9:36 را جستجو کنید
4
Mathayo 9:12
Yesu aliwasikia, akasema, “Watu wenye afya hawahitaji daktari; wanaomhitaji ni wale walio wagonjwa.
Mathayo 9:12 را جستجو کنید
5
Mathayo 9:35
Yesu alitembelea miji yote na vijiji, akafundisha katika masunagogi yao akihubiri Habari Njema ya ufalme wa Mungu, na kuponya magonjwa yote na udhaifu wa kila namna.
Mathayo 9:35 را جستجو کنید