Lk 6:37, 38, 39, 40, 41, 42, 43, 44, 45
Lk 6:37 SUV
Msihukumu, nanyi hamtahukumiwa; msilaumu, nanyi hamtalaumiwa; achilieni, nanyi mtaachiliwa.
Lk 6:39 SUV
Akawaambia mithali, Je! Aliye kipofu aweza kuongoza kipofu? Hawatatumbukia shimoni wote wawili?