1
Zaburi 58:11
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Watu wa haki watafurahi wanapoona waovu wanaazibiwa; watatembea katika damu ya watu wabaya.
Compare
Explore Zaburi 58:11
2
Zaburi 58:3
Hapana. Ninyi munafikiria tu kutenda maovu; ninyi wenyewe munaeneza mateso makali katika inchi.
Explore Zaburi 58:3
3
Zaburi 58:1-2
Kwa mukubwa wa waimbaji. Kwa mutindo wa wimbo “Usiharibu.” Mashairi ya Daudi. Enyi watawala, munasema kwa haki kweli? Munawahukumu watu kwa usawa?
Explore Zaburi 58:1-2