1
Zaburi 57:1
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Kwa mukubwa wa waimbaji. Kwa mutindo wa wimbo “Usiharibu.” Mashairi ya Daudi alipomuponyoka Saulo na kujificha katika pango.
Compare
Explore Zaburi 57:1
2
Zaburi 57:10
Ee Bwana, nitakushukuru kati ya watu; nitakuimbia sifa kati ya mataifa.
Explore Zaburi 57:10
3
Zaburi 57:2
Unihurumie, ee Mungu, unihurumie, maana ninakukimbilia wewe. Ninakimbilia kwenye kivuli cha mabawa yako, mpaka zoruba ya maangamizi ipite.
Explore Zaburi 57:2
4
Zaburi 57:11
Wema wako unaenea hata juu katika mbingu, uaminifu wako unafika hata katika mawingu.
Explore Zaburi 57:11