1
Zaburi 59:16
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Wanapitapita huko na huko wakitafuta chakula, nao wasiposhiba wananguruma.
Compare
Explore Zaburi 59:16
2
Zaburi 59:17
Lakini mimi nitaimba sifa za nguvu yako, nitashangilia asubui juu ya wema wako, maana wewe umekuwa kikingio changu, wewe ni kimbilio langu wakati wa taabu.
Explore Zaburi 59:17
3
Zaburi 59:9-10
Lakini wewe, ee Yawe, unawachekelea; unawazarau hao watu wasiokujua. Nitakungojea, ewe unayekuwa nguvu yangu; maana wewe, ee Mungu, ni kimbilio langu.
Explore Zaburi 59:9-10
4
Zaburi 59:1
Kiebrania: Kwa mukubwa wa waimbaji: kwa mutindo wa wimbo “Usiharibu”. Mashairi ya Daudi wakati Saulo alipotuma wapelelezi wamwue.
Explore Zaburi 59:1