Zaburi 58:1-2
Zaburi 58:1-2 SWC02
Kwa mukubwa wa waimbaji. Kwa mutindo wa wimbo “Usiharibu.” Mashairi ya Daudi. Enyi watawala, munasema kwa haki kweli? Munawahukumu watu kwa usawa?
Kwa mukubwa wa waimbaji. Kwa mutindo wa wimbo “Usiharibu.” Mashairi ya Daudi. Enyi watawala, munasema kwa haki kweli? Munawahukumu watu kwa usawa?