1
Zaburi 54:4
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Ee Mungu, usikilize maombi yangu; uyategee sikio maneno ya kinywa changu.
Compare
Explore Zaburi 54:4
2
Zaburi 54:7
Yeye atawaazibu waadui zangu kwa uovu wao wenyewe; kwa uaminifu wako, ee Mungu, uwaangamize.
Explore Zaburi 54:7
3
Zaburi 54:6
Ninajua Mungu ni musaada wangu, Yawe anaimarisha maisha yangu.
Explore Zaburi 54:6
4
Zaburi 54:1-2
Kwa mukubwa wa waimbaji: kwa vyombo vyenye nyuzi. Mashairi ya Daudi, yanayoelekea wakati mutu mumoja kutoka Zifu alipomwendea Saulo na kumujulisha kwamba Daudi amejificha kwao.
Explore Zaburi 54:1-2