1
Zaburi 55:22
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Maneno yake ni matamu kuliko maziwa, lakini mawazo yake ni ya kufanya vita. Maneno yake ni laini kama mafuta, lakini yanakata kama upanga mukali.
Compare
Explore Zaburi 55:22
2
Zaburi 55:17
Lakini mimi ninamulilia Mungu, naye Yawe ataniokoa.
Explore Zaburi 55:17
3
Zaburi 55:23
Utue muzigo wako kwa Yawe, naye atakusaidia; hamwachilii mutu wa haki ashindwe.
Explore Zaburi 55:23
4
Zaburi 55:16
Acha kifo kiwashitukie waadui zangu, washuke chini katika kuzimu wangali wazima; maana uovu umejaa katika mioyo yao.
Explore Zaburi 55:16
5
Zaburi 55:18
Magaribi, asubui na muchana kati, ninalalamika na kulia, naye atasikia sauti yangu.
Explore Zaburi 55:18
6
Zaburi 55:1
Kutoka kwa mukubwa wa waimbaji: kwa vyombo vyenye nyuzi. Mashairi ya Daudi.
Explore Zaburi 55:1