1
Zaburi 53:1
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Kwa mukubwa wa waimbaji. Kwa mutindo wa wimbo wa huzuni. Mashairi ya Daudi.
Compare
Explore Zaburi 53:1
2
Zaburi 53:2
Mupumbafu anajisemesha hivi katika moyo: “Hakuna Mungu!” Wote wamepotoka kabisa, wametenda mambo ya kuchukiza; hakuna hata mumoja anayetenda mazuri.
Explore Zaburi 53:2
3
Zaburi 53:3
Mungu anawaangalia wanadamu kutoka mbinguni, aone kama kuna yeyote mwenye akili kama kuna yeyote anayemutafuta Mungu.
Explore Zaburi 53:3