1
Zaburi 18:2
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Ninakupenda, ee Yawe, nguvu yangu!
Compare
Explore Zaburi 18:2
2
Zaburi 18:30
Kwa musaada wako, ninashinda kundi la waaskari; kwa musaada wa Mungu wangu, ninaruka kuta.
Explore Zaburi 18:30
3
Zaburi 18:3
Yawe ni kikingio changu, kimbilio langu, mukombozi wangu, Mungu wangu, yule ambaye ninamukimbilia, ngao yangu, nguvu ya wokovu wangu, munara wangu.
Explore Zaburi 18:3
4
Zaburi 18:6
kamba za kuzimu zilinizunguka, mitego ya kifo ilikuwa mbele yangu.
Explore Zaburi 18:6
5
Zaburi 18:28
Wewe unawaokoa wanyenyekevu, lakini unawashusha wenye macho ya kujivuna.
Explore Zaburi 18:28
6
Zaburi 18:32
Nani anayekuwa Mungu isipokuwa Yawe? Nani anayekuwa kikingio isipokuwa Mungu wetu?
Explore Zaburi 18:32
7
Zaburi 18:46
Wageni walivunjika moyo; wakakuja kutoka makimbilio yao wakitetemeka.
Explore Zaburi 18:46