1
Zaburi 17:8
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Unilinde kama mboni ya jicho lako; unifiche chini ya kivuli cha mabawa yako
Compare
Explore Zaburi 17:8
2
Zaburi 17:15
Lakini mimi nitauona uso wako, maana mimi ni mutu wa haki; nitakapoamuka nitajaa furaha kwa sababu unanitokea.
Explore Zaburi 17:15
3
Zaburi 17:6-7
Ee Mungu, ninakuita, maana wewe unanijibu; unitegee sikio, uyasikie maneno yangu. Onyesha wema wako wa ajabu; uwaokoe kutoka waadui zao wale wanaokimbilia kwako.
Explore Zaburi 17:6-7