1
Zaburi 19:14
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Unikinge mimi mutumishi wako na makosa ya makusudi, usikubali hayo yanitawale. Hapo nitakuwa mukamilifu, wala sitakuwa na kosa kubwa.
Compare
Explore Zaburi 19:14
2
Zaburi 19:7
Linatokea kwa upande mumoja, na kuzunguka mpaka upande mwingine; hakuna kinachoweza kuepuka joto lake.
Explore Zaburi 19:7
3
Zaburi 19:1
Kwa mukubwa wa waimbaji. Zaburi ya Daudi.
Explore Zaburi 19:1
4
Zaburi 19:8
Sheria ya Yawe ni kamilifu; inamupa mutu uzima mupya. Maagizo ya Yawe ni ya kuaminiwa; yanawapa wajinga hekima.
Explore Zaburi 19:8
5
Zaburi 19:9
Kanuni za Yawe ni sawa; zinafurahisha moyo. Amri za Yawe ni safi; zinamufungua mutu macho.
Explore Zaburi 19:9