1
Zaburi 16:11
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Unanionyesha njia ya kufikia uzima. Kuwa mbele yako ni kujazwa furaha, kuwa kwa kuume kwako kunapendeza milele.
Compare
Explore Zaburi 16:11
2
Zaburi 16:8
Siku zote Yawe ni mbele yangu; yeye yuko pamoja nami, wala sitatikisika.
Explore Zaburi 16:8
3
Zaburi 16:5
Wewe, ee Yawe, ndiwe riziki yangu kubwa, majaliwa yangu yako katika mikono yako.
Explore Zaburi 16:5
4
Zaburi 16:7
Ninamusifu Yawe anayeniongoza. Usiku zamiri yangu inanifundisha.
Explore Zaburi 16:7
5
Zaburi 16:6
Umenipimia sehemu nzuri sana; urizi wangu ni wa kupendeza.
Explore Zaburi 16:6
6
Zaburi 16:1
Mashairi ya Daudi. Unilinde, ee Mungu, maana ninakimbilia kwako.
Explore Zaburi 16:1