1
Zaburi 13:5
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Usiwaache waadui zangu waseme: “Tumemushinda huyu!” Watesaji wangu wasifurahie kuanguka kwangu.
Compare
Explore Zaburi 13:5
2
Zaburi 13:6
Lakini mimi ninatumainia wema wako, moyo wangu ufurahie wokovu wako. Nitakuimbia wewe, ee Yawe, kwa vyote ulivyonitendea!
Explore Zaburi 13:6
3
Zaburi 13:1
Kwa mukubwa wa waimbaji. Zaburi ya Daudi.
Explore Zaburi 13:1
4
Zaburi 13:2
Mpaka wakati gani, ee Yawe, utaendelea kunisahau? Mpaka wakati gani utanificha uso wako?
Explore Zaburi 13:2