1
Zaburi 14:1
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Kwa mukubwa wa waimbaji. Zaburi ya Daudi. Mupumbafu anajisemesha hivi katika moyo: “Hakuna Mungu.” Wote wamepotoka kabisa, matendo yao ni ya kuchukiza; hakuna hata mumoja anayetenda mazuri!
Compare
Explore Zaburi 14:1
2
Zaburi 14:2
Yawe anawaangalia wanadamu kutoka mbinguni aone kama kuna yeyote mwenye akili, kama kuna yeyote anayemutafuta Mungu.
Explore Zaburi 14:2
3
Zaburi 14:3
Lakini wote wamekosa, wote wamepotoka pamoja; hakuna anayetenda mazuri, hakuna hata mumoja.
Explore Zaburi 14:3