1
Zaburi 12:6
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Lakini Yawe anasema: “Kwa sababu wamasikini wanaugua, na wakosefu wanalia, sasa ninasimama, nami nitawapa usalama wanaoutazamia.”
Compare
Explore Zaburi 12:6
2
Zaburi 12:7
Ahadi za Yawe ni safi, safi kama feza iliyosafishwa katika chungu, kama feza iliyosafishwa mara saba.
Explore Zaburi 12:7
3
Zaburi 12:5
Wao wanasema: “Kwa ndimi zetu tutashinda; tuko na midomo, nani anayeweza kututawala?”
Explore Zaburi 12:5