1
Zaburi 11:7
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Yawe ni wa haki na anapenda watu watende kwa haki. Watu wa usawa wataona uso wake.
Compare
Explore Zaburi 11:7
2
Zaburi 11:4
Yawe yuko katika hekalu lake takatifu; kiti cha kifalme cha Yawe kiko mbinguni. Kwa macho yake anawachungulia wanadamu, na kujua kila kitu wanachofanya.
Explore Zaburi 11:4
3
Zaburi 11:5
Yawe anawapima watu wa haki na waovu; anawachukia wanaopenda kutesa kwa ukali.
Explore Zaburi 11:5
4
Zaburi 11:3
Kama misingi ikiharibiwa, mutu wa haki atafanya nini?”
Explore Zaburi 11:3
5
Zaburi 11:1
Kwa mukubwa wa waimbaji. Zaburi ya Daudi. Yawe ni kimbilio langu; namna gani basi munaweza kuniambia: “Ruka kama ndege, mpaka kwenye milima
Explore Zaburi 11:1