1
Zaburi 10:17-18
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Ee Yawe, unapokea maombi ya muzaifu; unamutia moyo na kumutegea sikio. Utawatendea haki wayatima na wanaoteswa, mwanadamu anayekuwa mavumbi asiweze tena kuleta hofu.
Compare
Explore Zaburi 10:17-18
2
Zaburi 10:14
Lakini wewe unawaona wenye taabu na shida; nawe uko tayari kuwasaidia siku zote. Muzaifu anakutegemea wewe, ee Mungu, wewe umekuwa siku zote musaada wa yatima.
Explore Zaburi 10:14
3
Zaburi 10:1
Ee Yawe, mbona unasimama mbali? Kwa nini unajificha wakati tuko katika taabu?
Explore Zaburi 10:1
4
Zaburi 10:12
Ee Yawe, simama sasa uwaazibu! Usiwasahau wanaoteswa.
Explore Zaburi 10:12