1
Zaburi 9:10
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Yawe ni kikingio cha watu wanaoonewa; yeye ni kikingio katika nyakati za taabu.
Compare
Explore Zaburi 9:10
2
Zaburi 9:1
Kwa mukubwa wa waimbaji. Kwa mutindo wa wimbo “Kilio cha mwana.”
Explore Zaburi 9:1
3
Zaburi 9:9
Anauhukumu ulimwengu kwa haki; anayaamua mataifa kama vile inavyofaa.
Explore Zaburi 9:9
4
Zaburi 9:2
Nitakushukuru wewe Mungu kwa moyo wangu wote; nitayaeleza matendo yako yote ya ajabu.
Explore Zaburi 9:2
5
Zaburi 9:8
Lakini Yawe anatawala milele; ameweka kiti chake cha kifalme, apate kuhukumu.
Explore Zaburi 9:8