Zaburi 10:17-18
Zaburi 10:17-18 SWC02
Ee Yawe, unapokea maombi ya muzaifu; unamutia moyo na kumutegea sikio. Utawatendea haki wayatima na wanaoteswa, mwanadamu anayekuwa mavumbi asiweze tena kuleta hofu.
Ee Yawe, unapokea maombi ya muzaifu; unamutia moyo na kumutegea sikio. Utawatendea haki wayatima na wanaoteswa, mwanadamu anayekuwa mavumbi asiweze tena kuleta hofu.