1
Mezali 8:35
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Anayenipata mimi amepata uzima, na upendeleo kutoka kwa Yawe.
Compare
Explore Mezali 8:35
2
Mezali 8:13
Kumwogopa Yawe ni kuchukia uovu. Ninachukia kiburi, majivuno maisha mabaya, na luga mbaya.
Explore Mezali 8:13
3
Mezali 8:10-11
Chagua mafundisho yangu pahali pa feza; na maarifa pahali pa zahabu safi. “Hekima ina maana sana kuliko mawe ya bei kali; kitu chochote unachotamani hakiwezi kulingana nayo.
Explore Mezali 8:10-11