1
Mezali 9:10
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Kumwogopa Yawe ni musingi wa hekima; na kumujua yule Mutakatifu ni kupata akili.
Compare
Explore Mezali 9:10
2
Mezali 9:8
Usimwonye mwenye kiburi maana atakuchukia; umwonye mwenye hekima naye atakupenda.
Explore Mezali 9:8
3
Mezali 9:9
Umufundishe mwenye hekima naye atazidi kuwa na hekima; umufundishe mutu wa haki naye atazidi kuwa na elimu.
Explore Mezali 9:9
4
Mezali 9:11
Kwa musaada wangu mimi Hekima siku zako zitaongezwa; utaongezewa miaka mingi katika maisha yako.
Explore Mezali 9:11
5
Mezali 9:7
Anayemwonya mwenye kiburi anapata mazarau, anayekaripia mwovu anajiletea matusi.
Explore Mezali 9:7