1
Mezali 7:2-3
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Ufuate amri zangu nawe utaishi; ulinde mafundisho yangu kama mboni ya jicho lako. Uyafunge kwenye vidole vyako; uyaandike ndani ya moyo wako.
Compare
Explore Mezali 7:2-3
2
Mezali 7:1
Mwana wangu, ushike maneno yangu, uchunge amri zangu.
Explore Mezali 7:1
3
Mezali 7:5
Vitakulinda mbali na mwanamuke mubaya, vitakuepusha na maneno matamu ya mwanamuke mugeni.
Explore Mezali 7:5