1
Mezali 26:4-5
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Usimujibu mupumbafu kipumbafu, kusudi usifanane naye. Umujibu mupumbafu kama kufuatana na upumbafu wake, kusudi asijione kuwa mwenye hekima zaidi.
Compare
Explore Mezali 26:4-5
2
Mezali 26:11
Mupumbafu anayerudiliarudilia upumbafu wake ni kama imbwa anayekula matapiko yake.
Explore Mezali 26:11
3
Mezali 26:20
Bila kuni, moto unazimika; bila mwenye kuchochea, ugomvi unamalizika.
Explore Mezali 26:20
4
Mezali 26:27
Anayechimbia mwenzake shimo, anatumbukia ndani mwenyewe; anayewaporomoshea wengine jiwe, litamurudilia mwenyewe.
Explore Mezali 26:27
5
Mezali 26:12
Unamwona mutu anayejiona kuwa mwenye hekima? Afazali kumutumainia mupumbafu kuliko yule.
Explore Mezali 26:12
6
Mezali 26:17
Anayejiingiza katika ugomvi usiomwelekea, ni kama mutu anayeshika masikio ya imbwa anayepita.
Explore Mezali 26:17