1
Mezali 25:28
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Mutu asiyeweza kuzuia hasira yake ni kama muji usiokuwa na ulinzi unaposhambuliwa.
Compare
Explore Mezali 25:28
2
Mezali 25:21-22
Adui yako akiwa na njaa, umupe chakula; akiwa na kiu, umupe maji ya kunywa. Hivyo utamufezehesha, kama vile kumwanga makaa ya moto juu ya kichwa chake. Yawe atakupa zawadi.
Explore Mezali 25:21-22