1
Mezali 27:17
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Chuma kinanoa chuma, vilevile mutu anafundishwa na mwenzake.
Compare
Explore Mezali 27:17
2
Mezali 27:1
Usijisifie kwa ajili ya kesho. Haujui siku ya leo itakuletea nini.
Explore Mezali 27:1
3
Mezali 27:6
Makaripio ya rafiki yanaonyesha uaminifu, lakini busu la adui ni udanganyifu.
Explore Mezali 27:6
4
Mezali 27:19
Kama uso unavyojiona wenyewe katika maji, ndivyo mutu anavyojijua mwenyewe ndani ya moyo.
Explore Mezali 27:19
5
Mezali 27:2
Acha watu wengine wakusifu, kuliko kujisifu kwa mudomo wako wewe mwenyewe.
Explore Mezali 27:2
6
Mezali 27:5
Afazali mutu anayekuonya waziwazi, kuliko yule anayeficha upendo.
Explore Mezali 27:5
7
Mezali 27:15
Muke mugomvi ni kama matone ya mvua yasiyoisha siku ya mvua.
Explore Mezali 27:15