1
Matayo 25:40
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Mufalme atawajibu: ‘Kweli ninawaambia: kila kitu mulichokitendea mumoja wa hawa wandugu zangu wanaohesabiwa kuwa wadogo, mulinitendea mimi.’
Compare
Explore Matayo 25:40
2
Matayo 25:21
Bwana wake akamwambia: ‘Ni vizuri, wewe mutumishi mwema na mwaminifu. Ulikuwa mwaminifu katika ulinzi wa mali ndogo, basi nitakuweka kuwa mulinzi wa mali mengi. Kuja ufurahi pamoja na bwana wako.’
Explore Matayo 25:21
3
Matayo 25:29
Kwa maana mutu anayekuwa na kitu ataongezewa kingine; lakini mutu asiyekuwa na kitu, ataondolewa hata kidogo anachokuwa nacho.
Explore Matayo 25:29
4
Matayo 25:13
Na Yesu akaongeza kusema: “Basi mukeshe, kwa sababu hamujui siku wala saa ile.
Explore Matayo 25:13
5
Matayo 25:35
Kwa maana nilisikia njaa, mukanipa chakula; nilisikia kiu, mukanipa maji; nilikuwa mugeni, mukanikaribisha
Explore Matayo 25:35
6
Matayo 25:23
Bwana wake akamwambia: ‘Ni vizuri, wewe mutumishi mwema na mwaminifu. Ulikuwa mwaminifu katika ulinzi wa mali ndogo, basi nitakuweka kuwa mulinzi wa mali mingi. Kuja ufurahi pamoja na bwana wako!’
Explore Matayo 25:23
7
Matayo 25:36
nilikuwa uchi, mukanipatia nguo; nilikuwa mugonjwa, mukanisaidia; nilikuwa katika kifungo, mulikuja kuniangalia.’
Explore Matayo 25:36
Home
Bible
Plans
Videos