1
Matayo 26:41
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Mukeshe na muombe, kusudi musianguke katika majaribu; kwa maana roho ni hodari, lakini mwili ni zaifu.”
Compare
Explore Matayo 26:41
2
Matayo 26:38
Halafu akawaambia: “Ninahuzunika sana, karibu kufa! Mubakie hapa na mukeshe pamoja nami.”
Explore Matayo 26:38
3
Matayo 26:39
Kisha akajitenga mbali kidogo nao, akainama uso chini. Akaomba akisema: “Ee Baba yangu, kama ikiwezekana, ninakuomba uniondolee mbali kikombe hiki cha mateso. Lakini isikuwe kama vile mimi ninavyotaka, lakini kama vile wewe unavyotaka.”
Explore Matayo 26:39
4
Matayo 26:28
kwa maana hii ni damu yangu inayomwangika kwa ajili ya wengi kusudi wasamehewe zambi. Nayo damu hii inahakikisha agano la Mungu.
Explore Matayo 26:28
5
Matayo 26:26
Walipokuwa wakikula, Yesu akatwaa mukate, akaubariki, kisha akaumega na kuwapa wanafunzi wake, akisema: “Mutwae na mukule, huu ni mwili wangu.”
Explore Matayo 26:26
6
Matayo 26:27
Kisha akatwaa kikombe, akakibariki na kuwapa, akisema: “Mukunywe ninyi wote
Explore Matayo 26:27
7
Matayo 26:40
Kisha akarudi pahali pale alipowaacha wale wanafunzi, akawakuta wamelala usingizi. Akamwambia Petro: “Hamukuweza kukesha pamoja nami hata kwa saa moja tu?
Explore Matayo 26:40
8
Matayo 26:29
Nami ninawaambia kwamba tangia sasa sitakunywa tena divai mpaka siku ile nitakapoikunywa mupya pamoja nanyi katika Ufalme wa Baba yangu.”
Explore Matayo 26:29
9
Matayo 26:75
naye Petro akakumbuka maneno yale Yesu aliyomwambia kwamba mbele jogoo hajawika, atakuwa amemukana mara tatu. Basi akatoka inje, akalia kwa uchungu sana.
Explore Matayo 26:75
10
Matayo 26:46
Musimame, tuende! Angalia, yule anayenitoa amefika karibu!”
Explore Matayo 26:46
11
Matayo 26:52
Halafu Yesu akamwambia: “Rudisha upanga wako katika kifuko chake, kwa maana yeyote anayetumia upanga, atauawa kwa upanga.
Explore Matayo 26:52
Home
Bible
Plans
Videos