1
Matayo 15:18-19
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Lakini vyote vinavyotoka ndani ya kinywa ni vyenye kutoka kwanza ndani ya moyo wake, navyo vinamuchafua mutu. Kwa maana ndani ya moyo munatoka mawazo mabaya yanayoleta uuaji, uzinzi, uasherati, wizi, ushuhuda wa uongo na matukano.
Compare
Explore Matayo 15:18-19
2
Matayo 15:11
Kitu kinachoingia ndani ya kinywa cha mutu hakiwezi kumuchafua. Lakini ni kile kinachotoka ndani ya kinywa chake ndicho kinachomuchafua.”
Explore Matayo 15:11
3
Matayo 15:8-9
‘Watu hawa wananiheshimu kwa midomo yao. Lakini mioyo yao ni mbali nami. Ibada wanayonifanyia ni ya bure, sababu mafundisho yao yanalingana na kanuni za watu tu.’ ”
Explore Matayo 15:8-9
4
Matayo 15:28
Halafu Yesu akamujibu: “Wewe mwanamuke, imani yako ni kubwa! Ifanyike kwako sawa ulivyoomba.” Na binti yake akapona tangia saa ile ile.
Explore Matayo 15:28
5
Matayo 15:25-27
Lakini mwanamuke yule akapiga magoti mbele yake na kumwambia: “Ee Bwana, unisaidie!” Yesu akamujibu: “Si vizuri kukamata chakula cha watoto na kukitupia imbwa.” Yule mwanamuke akasema: “Ndiyo, Bwana, unasema ukweli, lakini hata imbwa wanazoea kula makombo yanayoanguka chini ya meza ya wabwana wao.”
Explore Matayo 15:25-27
Home
Bible
Plans
Videos