1
Matayo 14:30-31
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Lakini alipoona upepo, akaogopa, na kwa vile alivyoanza kuzama ndani ya maji, akalalamika akisema: “Bwana, uniokoe!” Mara moja Yesu akanyoosha mukono, akamushika na kumwambia: “Ee wewe mwenye imani ndogo! Kwa sababu gani uliona shaka?”
Compare
Explore Matayo 14:30-31
2
Matayo 14:30
Lakini alipoona upepo, akaogopa, na kwa vile alivyoanza kuzama ndani ya maji, akalalamika akisema: “Bwana, uniokoe!”
Explore Matayo 14:30
3
Matayo 14:27
Lakini mara moja Yesu akasema nao, akiwaambia: “Mujipe moyo, ni mimi! Musiogope!”
Explore Matayo 14:27
4
Matayo 14:28-29
Basi Petro akamwambia: “Bwana, ikiwa kweli ni wewe, utoe amri kusudi nifike pale unapokuwa, nikitembea juu ya maji.” Naye Yesu akamujibu: “Kuja.” Halafu Petro akatoka ndani ya chombo, akaanza kutembea juu ya maji kumufikia Yesu.
Explore Matayo 14:28-29
5
Matayo 14:33
Basi wanafunzi waliokuwa ndani ya chombo wakapiga magoti mbele ya Yesu, wakisema: “Kweli wewe ni Mwana wa Mungu!”
Explore Matayo 14:33
6
Matayo 14:16-17
Lakini Yesu akawajibu: “Si lazima waende; ninyi wenyewe muwape chakula.” Lakini wao wakamujibu: “Hapa tuko tu na mikate mitano na samaki mbili.”
Explore Matayo 14:16-17
7
Matayo 14:18-19
Yesu akawaambia: “Muvilete hapa.” Kisha kuwaamuru watu waikae juu ya majani, Yesu akatwaa ile mikate mitano na samaki mbili, akainua macho mbinguni, akamushukuru Mungu. Akamega ile mikate, akawapa wanafunzi wake, nao wakaigawanya kwa kundi la watu.
Explore Matayo 14:18-19
8
Matayo 14:20
Watu wote wakakula na kushiba. Kisha wanafunzi wakaokota vipande vya mikate vilivyobaki, wakajaza vitunga kumi na viwili.
Explore Matayo 14:20
Home
Bible
Plans
Videos