Matayo 15:25-27
Matayo 15:25-27 SWC02
Lakini mwanamuke yule akapiga magoti mbele yake na kumwambia: “Ee Bwana, unisaidie!” Yesu akamujibu: “Si vizuri kukamata chakula cha watoto na kukitupia imbwa.” Yule mwanamuke akasema: “Ndiyo, Bwana, unasema ukweli, lakini hata imbwa wanazoea kula makombo yanayoanguka chini ya meza ya wabwana wao.”





