1
Matayo 16:24
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake: “Kama mutu akitaka kunifuata, ajikane yeye mwenyewe, lakini ajitolee kwa kubeba musalaba wake na kunifuata.
Compare
Explore Matayo 16:24
2
Matayo 16:18
Nami sasa ninakuambia: ewe Petro, wewe ni jiwe, na juu ya jiwe hili, nitajenga musingi wa kanisa langu, na hata uwezo wa lufu hautaweza kulishinda.
Explore Matayo 16:18
3
Matayo 16:19
Nitakupa funguo za Ufalme wa mbinguni; chochote utakachokikataza katika dunia, kitakatazwa mbinguni vilevile, na chochote utakachokiruhusu katika dunia, kitaruhusiwa mbinguni vilevile.”
Explore Matayo 16:19
4
Matayo 16:25
Kwa maana mutu anayetaka kulinda uzima wake, ataupoteza; lakini yule atakayetoa uzima wake kwa ajili yangu, ataupata tena.
Explore Matayo 16:25
5
Matayo 16:26
Ni faida gani kwa mutu kupata utajiri wote wa dunia, lakini anapoteza uzima wake? Hakuna kitu mutu anachoweza kutoa kwa kukomboa uzima wake.
Explore Matayo 16:26
6
Matayo 16:15-16
Halafu Yesu akawauliza: “Na ninyi munasema kwamba mimi ni nani?” Simoni Petro akamujibu: “Wewe ni Kristo, Mwana wa Mungu Mwenye Uzima.”
Explore Matayo 16:15-16
7
Matayo 16:17
Halafu Yesu akamwambia: “Heri kwako, wewe Simoni mwana wa Yona, kwa maana hakuna mutu aliyekufunulia neno hili isipokuwa Baba yangu anayekuwa mbinguni.
Explore Matayo 16:17
Home
Bible
Plans
Videos