Matayo 14:18-19
Matayo 14:18-19 SWC02
Yesu akawaambia: “Muvilete hapa.” Kisha kuwaamuru watu waikae juu ya majani, Yesu akatwaa ile mikate mitano na samaki mbili, akainua macho mbinguni, akamushukuru Mungu. Akamega ile mikate, akawapa wanafunzi wake, nao wakaigawanya kwa kundi la watu.





