Matayo 14:28-29
Matayo 14:28-29 SWC02
Basi Petro akamwambia: “Bwana, ikiwa kweli ni wewe, utoe amri kusudi nifike pale unapokuwa, nikitembea juu ya maji.” Naye Yesu akamujibu: “Kuja.” Halafu Petro akatoka ndani ya chombo, akaanza kutembea juu ya maji kumufikia Yesu.





