1
Yeremia 39:17-18
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Lakini siku hiyo mimi nitakuokoa wewe, wala hautatiwa katika mikono ya watu unaowaogopa. Maana, kweli nitakuokoa na hautauawa kwa vita; utapata faida ya kuokoa maisha yako kwa sababu umeniamini mimi. –Ni ujumbe wa Yawe.
Compare
Explore Yeremia 39:17-18