1
Waefeso 2:10
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Kwa maana sisi ni viumbe vya Mungu, na kwa kuungana kwetu na Yesu Kristo, alituumba kusudi tuishi maisha ya matendo mema, ambayo Mungu alitutayarishia tangu mbele tupate kuyatenda.
Compare
Explore Waefeso 2:10
2
Waefeso 2:8-9
Kwa maana mumeokolewa kwa neema ya Mungu, kwa njia ya imani. Jambo hili halitokani na ninyi wenyewe, lakini ni zawadi ya Mungu. Si kwa matendo yenu, kusudi mutu asipate kujivuna.
Explore Waefeso 2:8-9
3
Waefeso 2:4-5
Lakini Mungu ni mwenye huruma nyingi. Alitupenda kwa upendo wake mukubwa; sisi tuliokuwa tumekufa kwa sababu ya makosa yetu, alitufufua pamoja na Kristo. Hivi mumeokolewa kwa neema ya Mungu.
Explore Waefeso 2:4-5
4
Waefeso 2:6
Katika kuungana kwetu na Yesu Kristo, Mungu ametufufua pamoja naye kusudi tutawale pamoja naye mbinguni.
Explore Waefeso 2:6
5
Waefeso 2:19-20
Basi sasa, ninyi watu wa mataifa mengine si wageni tena wala wapangaji. Lakini sasa mumekuwa wanainchi pamoja na watu wa Mungu na tena mumekuwa watu wa jamaa la Mungu. Ninyi vilevile ni kama jengo linalosimama juu ya musingi uliowekwa na mitume na manabii; Yesu Kristo mwenyewe ndiye jiwe kubwa la pembe.
Explore Waefeso 2:19-20
Home
Bible
Plans
Videos